Biblia Takatifu-Swahili Bible 4+‎

Oleg Shukalovich

مصمم لـ iPad

    • ٥٫٠ • ٨ من التقييمات
    • مجانًا

لقطات الشاشة

الوصف

Biblia Takatifu ya Kiswahili (Swahili Bible) with King James Bible English Version
Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu".
Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".
Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.
Agano la Kale
Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu. Suala hilo liliondolewa kuanzia mwaka 80 BK wataalamu wa Wayahudi wa huko Jabneh (Jamnia) walipochukua msimamo mkali dhidi ya wafuasi wa Yesu.
Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki.
Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi.
Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni.
Agano Jipya
Kuna vitabu 27 vya Agano Jipya. Vinne vya kwanza ni Injili nne zinazoleta habari za maisha, matendo na maneno ya Yesu.
Vingine ni Matendo ya Mitume, Nyaraka za Mitume, hasa Mtume Paulo, na Ufunuo wa Yohane.

ما الجديد

الإصدار 3.1

Bug fixes and performance improvements

التقييمات والمراجعات

٥٫٠ من ٥
٨ من التقييمات

٨ من التقييمات

خصوصية التطبيق

أوضح المطور Oleg Shukalovich، أن ممارسات خصوصية التطبيق قد تتضمن معالجة البيانات على النحو الموضح أدناه. لمزيد من المعلومات، انظر %سياسة خصوصية المطور(ة) سياسة خصوصية المطور.

البيانات المستخدمة لتتبعك

يمكن استخدام البيانات التالية لتتبعك عبر التطبيقات والمواقع الإلكترونية المملوكة لشركات أخرى:

  • المعرفات
  • بيانات الاستخدام

البيانات غير المرتبطة بك

قد يتم جمع البيانات التالية على الرغم من عدم ربطها بهويتك:

  • المعرفات
  • بيانات الاستخدام
  • التشخيص

قد تختلف ممارسات الخصوصية بناءً على الميزات التي تستخدمها أو حسب عمرك على سبيل المثال. معرفة المزيد

المزيد من هذا المطور

Ang Dating Biblia. Filipino
كتب
Tagalog English Bible - Biblia
كتب
Arabic Audio Bible Scripture
كتب
Bible Offline with Red Letter
كتب
Amharic Holy Bible Ethiopian
كتب
La Bible Louis Segond + Audio
كتب

ربما يعجبك أيضًا

Biblia Takatifu ya Kiswahili
كتب
Bibilia Takatifu
كتب
Nyimbo Za Kristo - SDA Hymns
كتب
Bible بلغتين الكتاب المقدس
كتب
Holy Bible Offline iPhone
كتب
Amplified Bible with Audio
كتب